Nimemblock sasaa, nitaheal sindio?
Alinikataa from Dec, nmekuwa nikisimp izi months zote from Dec through to Feb nikijaribu kubeg asiende. After the last meeting 2 weeks ago nikaona ii ishaenda ya ukweli, nikaconcede.
So ii wiki nimemblock kila mahali , except whatsap though nime unsave no yake, nmetoa emails, google photos na nikamdropia nguo zilikuwa kwangu ...nikasikia uponyaji wa rohoo.
Huwa mnadeal aje na heartbreak jamani kimekuwa kikiniramba the past two months